Description
🔹️Wapedwa wetu Karibuni mjipatie HAND MIXER OG KABISA, Hii handmixer ni imara na ina ubora wa hali ya juu, Unaweza kukandia unga wa chapati,keki Hata kukorogela mayai
🔹️Mzigo uko dukani na zimebaki pc chache tu ,kuwahi kwako kulipia ndo kuwahi kwako kupata..Utaipata kwa Tsh 45,000/=
🔹️Tupo sinza kumekucha au tupigie 0658694793