Description
Tunaanza weekend yetu kwa Combo namna hii 🤤🤤😋
Large Combo ya Chapati Zege yenye Nyama na Kusaga, Mbogamboga na Sausages ikiwa na Beef Makange au Kuku 🔥✅
Bei ni 15,000 Tshs yote kama ilivyo.
Tunapatikana Sayansi karibu na mataa, barabara ya Kijitonyama [ilipo adeckjuice], pia tunafanya delivery kwa gharama nafuu 💯.
Unaweza kuweka order kwa kubonyeza link kwenye bio yetu au kwa kupiga 0756958798 ✅. Tupo wazi kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 3 na nusu usiku kila siku (closed on Wednesdays)
#chapati #chickenrecipes #daressalaam #foodporn #Tanzaniachef #chefkile #igfoods #beef #foodinspiration #foodie #africanfood #bellasroti #tanzaniafood