Description
Small Full Combo ya watu wawili, inafaa kama hamna njaa sana 😀. Ila kama unapenda kula, jichagulie medium au large tu usijitese 🙌🏾
Ni 20,000 Tshs (unapata small Sausage chapati zege, side dishes na smoothies)🔥
Tunapatikana Sayansi karibu na mataa, barabara ya Kijitonyama [ilipo adeckjuice], pia tunafanya delivery kwa gharama nafuu 💯.
Unaweza kuweka order kwa kubonyeza link kwenye bio yetu au kwa kupiga 0756958798 ✅. Tupo wazi kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 3 na nusu usiku kila siku (closed on Wednesdays)
#chapati #chickenrecipes #daressalaam #foodporn #Tanzaniachef #chefkile #igfoods #beef #foodinspiration #foodie #africanfood #bellasroti #tanzaniafood