Description
Hii ni large Sausage na Minced Beef Chapati Veggies, inakuwa pamoja na Kuku plus Smoothie. Tamu sanaa 😋😋🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Ni 18,000 Tshs tu 🔥🤝
Unaweza agiza kwa ajili ya Lunch ofisini au dinner nyumbani muda wowote.
Tunapatikana Sayansi karibu na mataa, barabara ya Kijitonyama [ilipo adeckjuice], pia tunafanya delivery kwa gharama nafuu 💯.
Unaweza kuweka order kwa kubonyeza link kwenye bio yetu au kwa kupiga 0756958798 ✅. Tupo wazi kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 3 na nusu usiku kila siku (closed on Wednesdays)
#chapati #chickenrecipes #daressalaam #foodporn #Tanzaniachef #chefkile #igfoods #beef #foodinspiration #foodie #africanfood #bellasroti #tanzaniafood