Description
Chapati Zege Combo 🤤😋🔥🙌🏾
Hii ni Large Chapati Veggies yenye Sausages, Nyama ya Kusaga na Mbogamboga ikiwa na side dish ya Beef Makange (unaweza chagua Kuku 😋) plus Smoothie 😋🤩🙌🏾
Combo Price ni 18,000 Tshs tu full kama ilivyo ✅
Tunapatikana Sayansi karibu na mataa, barabara ya Kijitonyama [ilipo adeckjuice], pia tunafanya delivery kwa gharama nafuu 💯.
Unaweza kuagiza Chakula chako kwa kubonyeza link kwenye bio yetu au kwa kupiga 0756958798 ✅. Tupo wazi kuanzia saa 4 asubuhi mpaka saa 3 na nusu usiku kila siku (closed on Wednesdays)
#chapati #chickenrecipes #daressalaam #foodporn #Tanzaniachef #chefkile #igfoods #beef #foodinspiration #foodie #africanfood #bellasroti #tanzaniafood